
imempata Mganga wa Hospitali ya Rulenge iliyopo wilayani Ngara, Kagera, Sister Mariagoreth Fransis ambaye amesema wamepokea majeruhi 45 waliotokana na mlipuko huo ambapo kati ya majeruhi hao, 13 wamejeruhiwa vibaya na wawili wamefariki.
Usiku wa October 31 2017 michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya maarufu kama UEFA Champions League iliendelea kwa michezo nane kuchezwa barani...
No comments:
Post a Comment