Thursday, November 9, 2017

MLIPUKO KAGERA


Mapema leo November 8, 2017 kulisambaa taarifa kutokea Kanda ya Ziwa hasa Mkoa wa Kagera zikieleza kuwa kitu kinachodhaniwa kuwa bomu, kimelipuka katika Shule ya Msingi Kihinga iliyopo kijiji cha Kihinga kilichopo Kata ya Lulenge wilayani Ngara na kusababisha majeruhi.
 imempata Mganga wa Hospitali ya Rulenge iliyopo wilayani Ngara, Kagera, Sister Mariagoreth Fransis ambaye amesema wamepokea majeruhi 45 waliotokana na mlipuko huo ambapo kati ya majeruhi hao, 13 wamejeruhiwa vibaya na wawili wamefariki.

No comments:

Post a Comment

EL SHAARAWY AWEKA REKODI

Usiku wa October 31 2017 michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya maarufu kama  UEFA Champions League iliendelea kwa michezo nane kuchezwa barani...